Bagz Badkampany ni msaani anaye ibukia kutokea kule kenya Nairobi Ksouth.Tarehe 30th July ameweza kulaunch mziki wake mpya “TuliaNami” kwenye facebook page ya kwake Wimbo abayo amemshirikisha msaani kutoka Tanzania “Tegeta” kajulikana kama “Dee’mavoice”
Huu wimbo imekubalika kenya kwa zaidi, ivi ikipata rounds za airplay kwenye radio na fans wao ku request kwa sana…
Kwenye kanda wanazungumzia mapenzi na jinsi majirani wakati mooja wanaweza kuivunja ndoa… kwa mengi na zaidi una weza check BELOW
To WATCH on Youtube >> CLICK HERE
To Download >> CLICK HERE
One thought on “Tulia Nami yakubalika Tanzania.”